Psalms 18:1-2

Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi

(2 Samweli 22:1-51)

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Daudi Mtumishi Wa Bwana Aliyomwimbia Bwana Wakati Bwana Alipomwokoa Mikononi Mwa Adui Zake Wote, Na Pia Mkononi Mwa Sauli)


1 aNakupenda wewe, Ee Bwana,
nguvu yangu.


2 b Bwana ni mwamba wangu,
ngome yangu na mwokozi wangu,
Mungu wangu ni mwamba,
ambaye kwake ninakimbilia.
Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,
ngome yangu.
Copyright information for SwhKC